FIKRA 4 HATARI KUHUSU NDOA | DEO SUKAMBI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Karibu katika kipindi cha UPONYAJI WA FAMILIA na Pastor Deo Sukambi. Leo tunajifunza FIKRA 4 HATARI
    KUHUSU
    NDOA.
    Kwa ushauri nasihi piga +255 746 104 034 au e-mail booking@deosukambi.com
    Unaweza Kusapoti huduma hii
    TIGO PESA +255 715 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
    M PESA +255 746 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
    Endelea kunifuatilia kwenye kupitia
    / deosukambi
    / deosukambi
    / deosukambi1
    Usisahau ku subcribe kwa mafundisho zaidi
    / @deosukambi
    Deo Sukambi is Counselor | Mentor | Pastor | Public Speaker | Corporate trainer | Author
    #DeoSukambi #Familia #Malezi #Watoto #Ndoa #Mahusiano

Комментарии • 28

  • @lindacharles998
    @lindacharles998 5 месяцев назад +1

    Yani leo nimepata tiba juu ya hayamawazo yangu....
    Yaniumekuwa tiba kubwa Sana kwangu tangu nimeanza kupitia hii changamoto ya mwenza wangu kukaa kimya baada ya kuamua tu kwenda kutafuta maisha japo kilamara alikuwa ananiambiaa anapambana kwajili yangu na watoto lakini bado nilikuwa namawazo potofu Ila leo pastor umenitibu zaidi ❤❤ barikiwa Sana...
    Kwanzia nimeanza kukufuatilia nimekuwa na amani ya moyo na nnachojitahidi ni kukuombea zaidi kwa Mungu mapema arudi kwetu maana hakika nimemmiss Sana mume wangu

  • @sophiasophia9713
    @sophiasophia9713 5 месяцев назад +1

    Ahsante sana kwa mafundisho mazuri, nimepona, nikiripoti kutoka UK.

  • @athanasiajulias5679
    @athanasiajulias5679 Месяц назад

    Asante sans

  • @cathyathanas2139
    @cathyathanas2139 5 месяцев назад +1

    Mwl nimekuelewa❤Asante 🙏 Mwl

  • @fatmakombo9793
    @fatmakombo9793 5 месяцев назад +1

    Kaka unatufundisha vitu vingi sana tunakuelewa mimi naona tatizo kubwa linaanza pale mmoja anapoanza kuchit mapenzi yanapotea hasa wanaume wanatuumiza sana ndioo maana wanawake tunaongea sana tutowe maumivu ya moyoni nakufatilia kutoka sweden 🎉

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  5 месяцев назад

      Kucheat wala sio tatizo bali tatizo ni
      1. Nini kinafanya mwanaume acheat?
      2. Nini kinakufanya uumie SANA mume akicheat?
      Ukipata majibu hayo mawili utakuwa umejua tatizo la msingi..

    • @husnamadai7052
      @husnamadai7052 2 месяца назад

      Upo Sweden sehemu gani?

  • @chrissg4026
    @chrissg4026 5 месяцев назад

    THIS MAN IS GOD SENT!

  • @kissamwamunyange1018
    @kissamwamunyange1018 5 месяцев назад

    Asante mwalimu🙏

  • @remigiusrweyemamu3089
    @remigiusrweyemamu3089 5 месяцев назад

    Asante Doctor

  • @keenbazaar8173
    @keenbazaar8173 5 месяцев назад +2

    Nimezurura na kurukaruka kama popcorn kwa miaka 15😂ahsante sana Dr. Sukambi

  • @SubiraSanga
    @SubiraSanga 5 месяцев назад

    Ahsane! kwa som zr

  • @fortunataangelo5575
    @fortunataangelo5575 5 месяцев назад +1

    Basi mimi ni mwanmke wa tofauti sana,, hapo nyuma kabla sijapata mchumba moyo wangu nilikuwa nauona una tamani kupenda kuhudumia kujali yaani nilitamani niwe mtu wa mtu ili nitoe kile nilicho nach kumfurahisha huyo mume wangu ,,afu ningeona anavyo furahi mimi ndo ingekuwa furaha yangu,, sijui nimeeleweka,, yaani nilikiwa natamani kuoffer yalio ndani yangu, kwa huyo mume wangu pekeake?

    • @imanimwakinga4934
      @imanimwakinga4934 5 месяцев назад

      Na sasa hali ikoje??

    • @fortunataangelo5575
      @fortunataangelo5575 5 месяцев назад

      @@imanimwakinga4934 tuko wachumba Bado na yeye yuko mbali kabisa,, ila bado natamani kumfanyia vilevile

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  5 месяцев назад

      Ni hatari pale mwanamke unapokuwa na shauku kubwa ya kupenda kutoa na kuhudumia..sina uhakika hicho unachotamani kumuhudumia nacho mumeo ni nini but natilia mashaka hatima ya hiyo fikra yako kwasababu inaweza kumfanya mume wako awe mtu dhaifu asiye na hamasa na uwezo wa kukuhudumia wewe

    • @fortunataangelo5575
      @fortunataangelo5575 5 месяцев назад

      @@DeoSukambi hiyo ingekuwa shida yake ya kushindwa kurudisha upendo alio pewa lakini mimi,, niko hivyo, yaani napenda kumfanya mtu awe na furaha,, yaani naweza nikaamka asubuhi nikawaza kama mume wangu angekuwepo ningempikia hiki au kile, au nimeona kitu kizuri nasema hiki kinge mfaa mume wangu, angekifurahia,, mambo ni mengi kwa kifupi moyo wangu unapenda kutoa, hata kwa watu baki,, nakumbuka nilipo kuwa chuo,, nilikuwa nawafanyia watu hivyo ila kwa wanaume walikuwa wanahisi nawatongoza,, basi nawauliza kwani wewe hukuwahi kupendwa bure bure😅 , utasikia huwa tunaanziaga huku,, lakini moyoni mwanangu sikuwa namanisha chochote,, na mtu akifurahi kumfanyia hivyo huwa nafurahi zaidi,, ila imesha nikost mara kadhaa, maranyingine best kasema nakuja kwako, mimi tena huyo napika hiki kile,, afu naishi pekeangu,, mtu asitake kukubaka nini,, yaani yaani akulale tu ,,ajifrahishe yeye,, namshukuru Mungu sijawahi kuwa cheeper kiasi hicho, ila kwa rafiki zangu wa kike tulitengeneza urafiki wa kudumu kwa tabia hiyo,, hadi wengine tumekuwa kama ndugu,

    • @fortunataangelo5575
      @fortunataangelo5575 5 месяцев назад

      @@imanimwakinga4934 kwa sasa ninamchumba ila yuko mbali zaid zaidi ni simu basi ila natamani yuone hata kesho tukae karibu, afu nifanye yale nayo tamani, na vya kutamani kumfanyia,, vimeongezeka sana,, kama anajitambua,, basi atainjoy,,

  • @fatumaninga5522
    @fatumaninga5522 5 месяцев назад +1

    Dr mimi mume wangu tulipanga anifungulie biashara lakini cha ajabu amekuja na neno linaloniumiza moyo wangu kaniambia tutaandikishana icho kitu kimenifanya nakosa raha je nifanyaje au yeye yuko sahihi ?

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  5 месяцев назад +1

      Mumeo yupo sahihi kabisa..biashara na mapenzi havichangamani kabisa. Ukiamua kuwa mfanyabiashara lazima uamue kuwa accountable na uweke mapenzi pembeni. Kama unataka akutreat kama mpenzi kwa kukupa tu mtaji bila uwajibikaji basi jiandae kupoteza huo mtaji na kuua biashara. Huyo mumeo ana akili sana nampongeza kwa hilo

    • @fatumaninga5522
      @fatumaninga5522 5 месяцев назад

      Mungu wangu mi nikadhani ye hawezi kunionga Mimi maana anadai hamkawii kugeuka nyinyi basi nikaumia nahiyo kauli nikajiona kama Sina bahati kama wengine wanaohongwa

  • @nshomakawili5239
    @nshomakawili5239 5 месяцев назад +1

    Hivi hata ktk seals la tendo la ndoa kama wewe ndiyo muanzishaji kila wakati nayo hii imekaaje

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  5 месяцев назад +1

      Kuna sababu inayopelekea jambo hilo..ni vema kuchunguza ni nini kinasababisha upande mmoja ndio uwe unaanzisha kila wakati kabla ya kuhukumu

  • @mj.tv.forpeople992
    @mj.tv.forpeople992 5 месяцев назад

    Mwalim ahaaa haya masomo musumali wa moto ila mimi ninapona

  • @neemaphillip6575
    @neemaphillip6575 5 месяцев назад

    Kifuntule😂😂😂😂

  • @johnathumani6891
    @johnathumani6891 5 месяцев назад

    Nakukubal san unatupa uponyaji sisi ambao tunatarajia kuaingia kwenye ndoa